Tishio La Ukombozi: Ubeberu na Mapinduzi Zanzibar

Kitabu hiki kinaturudisha katika kipindi cha kusisimuwa cha miaka ya vita baridi, kipindi ambacho, sambamba na kipindi cha leo, madola ya kibeberu yamekuwa yakifanya njama za kubadilisha serikali zilizokuwepo na kuziweka madarakani zile zenye kufuata amri. Kwa kutumia kumbukumbu za picha za Johari, nyaraka za siri za Marekani na Uingereza, pamoja na mahojiano ya kina, kitabu kinatowa uchambuzi juu ya nafasi na satwa ya Chama cha Umma Party nchini Zanzibar na kiongozi wake mwenye upeo mkubwa wa mambo, Mwanamapinduzi mfuasi wa Itikadi ya Karl Marx, Abdulrahman Mohamed Babu. Kwa kuangalia kwa njia ya uwiano wa mifano inayokwenda sambamba ya wahka wa Marekani kuhusu Uchina ya Kikomunisti katika miaka ya 1960 na woga walionao hivi sasa kuhusu ushawishi wa Uchina, kitabu kinatafakari juu ya mivutano mipya iliyopo katika kupigania rasilmali za Afrika, kuundwa kwa kikosi cha AFRICOM, na jinsi Wanasiasa wa Afrika Mashariki wanavyoshiriki katika kuimarisha udhibiti wa Marekani katika nchi zao, na “Vita dhidi ya Ugaidi” katika ukanda wa Afrika Mashariki hivi sasa.

Now available from Mkuki Na Nyota Publishers, Tanzania: http://www.mkukinanyota.com

ISBN Print: ISBN-13: 978-0995222328
Publication Date: 09/22/2016
Page Count: 204
Binding Type: Paperback
Trim Size: 6in x 9in
Language: Swahili
Colour: B&W
Print book available from: Price includes shipping
E-pub available from: Available from Daraja Press
Kindle version available on Amazon: Available from Daraja Press

USD $ 5.00USD $ 25.00

Clear

Amrit Wilson is a writer and activist on issues of race and gender in Britain and South Asian politics. She is a founder member of South Asia Solidarity Group and the Freedom Without Fear Platform, and board member of Imkaan,…

    Kitabu hiki kinaturudisha katika kipindi cha kusisimuwa cha miaka ya vita baridi, kipindi ambacho, sambamba na kipindi cha leo, madola ya kibeberu yamekuwa yakifanya njama za kubadilisha serikali zilizokuwepo na kuziweka madarakani zile zenye kufuata amri. Kwa kutumia kumbukumbu za picha za Johari, nyaraka za siri za Marekani na Uingereza, pamoja na mahojiano ya kina, kitabu kinatowa uchambuzi juu ya nafasi na satwa ya Chama cha Umma Party nchini Zanzibar na kiongozi wake mwenye upeo mkubwa wa mambo, Mwanamapinduzi mfuasi wa Itikadi ya Karl Marx, Abdulrahman Mohamed Babu. Kwa kuangalia kwa njia ya uwiano wa mifano inayokwenda sambamba ya wahka wa Marekani kuhusu Uchina ya Kikomunisti katika miaka ya 1960 na woga walionao hivi sasa kuhusu ushawishi wa Uchina, kitabu kinatafakari juu ya mivutano mipya iliyopo katika kupigania rasilmali za Afrika, kuundwa kwa kikosi cha AFRICOM, na jinsi Wanasiasa wa Afrika Mashariki wanavyoshiriki katika kuimarisha udhibiti wa Marekani katika nchi zao, na “Vita dhidi ya Ugaidi” katika ukanda wa Afrika Mashariki hivi sasa.

    Unaweza kusoma kitabu hiki mtandaoni bila malipo.

    Amrit Wilson amechota kutoka vyanzo mbalimbali maelezo yaliyomuwezesha kuandika kuhusu Zanzibar ya nyakati za sasa. Kitabu hiki kinastahiki kusomwa na walio wengi. MAHMOOD MAMDANI, Profesa wa Masuala ya Utawala katika Chuo Kikuu cha Herbert Lehman, na Profesa wa Anthropologia katika Chuo Kikuu cha Columbia.

    Amrit Wilson anafanya uchambuzi wa kina wenye kugusa hisia za msomaji kuhusu mapambano halisi na thabit dhidi ya ukoloni mamboleo kama vile ambavyo yamekuwa yakijitokeza na kuendeshwa nchini Zanzibar na Tanzania. Kwa kutumia nyaraka ambazo hapo awali zilikuwa hazipatikani, ameweza kumvuta msomaji na kumpeleka katika harakati za miaka ya 1960 ambazo zingeliweza kuleta mabadiliko ya maana ya kimapinduzi nchini Zanzibar, na yumkini pia katika sehemu nyengine za Afrika Mashariki, kama harakati hizo zisingelitekwa nyara … Baadhi ya sehemu za maelezo ya kitabu yanatowa taswira na hisia zinazomfanya msomaji kujihisi yumo kuwemo katika kusoma riwaya !

    BILL FLETCHER, JR.. mwandishi na mwanaharakati, mwandishi-mwenza wa Solidarity Divided na pia mwandishi-mwenza wa Claim No Easy Victories: The Legacy of Amilcar Cabral

    AMRIT WILSON ni mwandishi na mwanaharakati. Miongoni mwa vitabu vyake ni pamoja na Dreams, Questions, Struggles: South Asian Women in Britain (Pluto Press, 2006), “Ndoto, Maswali, Mapambano: Wanawake wa Asia ya Kusini Ulaya ya Uingereza” na US Foreign Policy and Revolution: The Creation of Tanzania (Pluto Press, 1989) “Sera ya Mambo ya Nje ya Marekani na Mapinduzi: Kuundwa kwa Tanzania”

    You may also like…

    • Select options This product has multiple variants. The options may be chosen on the product page

      Poems for the Penniless

      These poems by Issa Shivji, lawyer, activist and Tanzanian public intellectual, were written at different times in different circumstances. They give vent to personal anguish and political anger. Mostly originally written in Kiswahili, here accompanied by English translations, and they are intensely personal and political.

      Poems are clustered under several headings to provide a context. The first combines personal agony at the loss of comrades and friends with poems about love and affection for living ones. The second is about robberies of freedom, resources, and dignity and the loss of justice under neoliberalism. The third section, entitled Hopes and Fears, comprises short poems tweeted over the last five years expressing despair, fear and hope in the human capacity for freedom.

      The last section are poems, concerned with Shivji’s period in South Africa in 2018, reflect on the emergence of neo-apartheid with its wanton and shameless exploitation of the majority.

      Wonderfully translated by Ida Hadjivayanis.

      USD $ 5.00USD $ 18.00
      Select options This product has multiple variants. The options may be chosen on the product page
    • Select options This product has multiple variants. The options may be chosen on the product page

      The Travails of a Tanzanian Teacher

      The Travails of a Tanzanian Teacher is a riveting account of the bumpy first decade of the work life of Karim F Hirji, a retired Professor of Medical Statistics. Filled with a distinctive variety of eye-opening episodes, it covers lecturing at the University of Dar es Salaam, the life of a political exile in a remote rural area and the challenges of setting up from scratch a one-of-a-kind educational institute in Africa. With a style that seamlessly combines the personal with the general, Hirji provides an illuminating description of different aspects of the Tanzanian political, educational, economic and rural landscape during the 1970s. Starting with a commentary on teacher training, he concludes with a critical comparison of modern university education in the nation with that of the earlier era.

      USD $ 18.00
      Select options This product has multiple variants. The options may be chosen on the product page
    • Select options This product has multiple variants. The options may be chosen on the product page

      Finding a Voice: Asian Women in Britain (New and Expanded Edition)

      irst published in 1978, and winning the Martin Luther King Memorial Prize for that year, Finding a Voice established a new discourse on South Asian women’s lives and struggles in Britain. Through discussions, interviews and intimate one-to-one conversations with South Asian women, in Urdu, Hindi, Bengali and English, it explored family relationships, the violence of immigration policies, deeply colonial mental health services, militancy at work and also friendship and love. The seventies was a time of some iconic anti-racist and working-class struggles. They are presented here from the point of view of the women who participated in and led them.

      This new edition includes a preface by Meena Kandasamy, some historic photographs, and a remarkable new chapter titled ‘In conversation with Finding a Voice: 40 years on’ in which younger South Asian women write about their own lives and struggles weaving them around those portrayed in the book.

      USD $ 5.00USD $ 20.00
      Select options This product has multiple variants. The options may be chosen on the product page